Header Ads

Dodoma yatajwa kuwa kinara wa viashiria vya ugonjwa huu

Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini moja baada ya nyingine. 
Moja ya habari kubwa iliyoandikwa kwenye magazeti ya August 17 2016 ni hii kutoka gazeti la MTANZANIA yenye kichwa cha habari ‘Dodoma yatajwa kinara viashiria’



 Dodoma imetajwa kuwa na viashiria vya juu ktk maambukizi ya UKIMWI ikilinganishwa na mikoa mingine

Mkoa wa Dodoma umetajwa kuwa na viashiria vya juu katika maambukizi ya UKIMWI ikilinganishwa na mikoa mingine. Hali hiyo imetokana na kuwepo kwa vitu kadhaa vinavyowakutanisha vijana vikiwamo vyuo na sehemu za starehe.
Akizungumza na Gazeti la Mtzanzania, mratibu wa programu za kanda za Afrika,Renatus Kihongo alisema utafiti uliofanywa mwaka 2012 unaonesha vijana wengi katika manispaa ya Dodoma wanatumia muda mwingi kwenye starehe jambo ambalo ni linatishia uwepo wa maambukizi ya ugonjwa huo.
Utafiti huo ulifanywa na Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania ‘TACAIDS’ viashiria vya maambukizi ya UKIMWI vipo juu kwa vijana kati ya miaka 15 hadi 24 ambapo wanafunzi wa vyuo vikuu ndio wanaonekana kuwepo katika viashiria hivyo.
Kihongo alisema mkoa wa Dodoma kitaifa upo katika nafasi ya 22 kwa kuwa na maambukizi ya UKIMWI……..>>>’Mara nyingi sehemu yoyote sehemu yoyote yenye maendeleo inakwenda sambamba na viashiria vya maambukizi ya UKIMWI kutokana na kuwepo na muingiliano mkubwa wa watu ambao baadaye hujenga uhusiano’
Source: MTANZANIA
Unaweza kupitia habari nyingine kwenye magazeti ya Tanzania leo August 18 2016



 Lubuva asisitiza kuwa kikatiba NEC ni huru na hajawahi kupewa maelekezo na Rais wakati wa uchaguzi mkuu




 Vyuo vikuu 31 vimegundulika kuwa na wanafunzi 'hewa' 2,192 ambao wamelipwa bil 3.8




 Lissu ambaye ni wakili wa Bulaya, apangua maombi ya wananchi wanne wanaopinga matokeo ya ubunge wa Bulaya




 Tanzania imekuwa nchi ya kwanza bora duniani kati ya 10 zitakazotembelewa na watalii mwaka huu




 NEC imekamilisha mchakato wa kupata kiwanja kwa ajili ya kujenga ofisi zake Dodoma




 KCMC yalalama kuwalipia wagonjwa, mwaka jana pekee imetumia mil 306 wagonjwa wenye msamaha wa matibabu




 Serikali kuzuia uingizaji wa saruji kutoka nje baada ya uzalishaji wa ndani kutosheleza mahitaji




 Wakuu shule 123 K'ndoni, Arusha wabainika kuchomeka wanafunzi hewa 7,800 fedha za elimu bure




 Baada ya kina Joti kuhojiwa na kuachiwa kwa dhamana kosa la kuvaa sare za polisi sasa Masanja anatafutwa




 TCRA imetangaza kuwa yeyote atakayebainika ametengeneza akaunti taarifa ambazo siyo zake mtandaoni atakiona




 TCRA imetangaza kuwa yeyote atakayebainika ametengeneza akaunti taarifa ambazo siyo zake mtandaoni atakiona




 TANESCO imefanya ukaguzi mikoa 13 na imebaini kuwa Arusha kinara wizi wa umeme ikifuatiwa na Mwanza, Mbeya




 PAC yamwagiza katibu wa Wizara ya viwanda kuwasilisha taarifa ya upotevu wa gari la Serikali




 Kaimu mkurugenzi TanzaniteOne avuliwa madaraka kwa tuhuma za kuwanyanyasa wafanyakazi wa kampuni hiyo




 Kiwanda cha kutengeneza vifaa vya zimamoto chazinduliwa kitasaidia kutunza mamilioni ya kuagiza vifaa nje




 Taasisi ya tiba ya moyo ya Jakaya Kikwete inakabiliwa na upungufu wa madaktari kwa kiwango cha 50%




 Zaidi ya mil 190 za ulipaji fidia Mbarali, Mbeya zinadaiwa kutafunwa na watendaji wa halmashauri hiyo




 Wakuu wa shule Arusha watakiwa kuajiri kampuni za ulinzi kwa ajili ya kulinda shule badala ya wazee



No comments

Contact us:Email:godfreymtega@gmail.com/WhatsApp-+255758297744/+255716824009 . Powered by Blogger.