VIDEO: Hii ndio Mbagala na Singeli yao…
Mkuu wa wilaya ya Handeni Tanga Godwin Gondwe aliaandaa tamasha lililoitwa Dawati Concert kwa lengo la kuwakutanisha wakazi wa Dar es salaam, tamasha lililofanyika August 13 2016 huku likisindikizwa na wakali kutoka Bongoflevani Fid Q, AY, Stereo, Ben Pol, Barnaba, Msami pamoja na Mfalme wa muziki wa Singeli Msaga Sumu.
Hapa nimekusogezea show ya staa wa miondoko ya Singeli Msaga Sumu
Post a Comment