PICHA 6: Nilivyotembelea uwanja wa ndege Dar na kuzikuta ndege kwenye huu muonekano
Najua kuna baadhi ya watu wangu wamezoea kuuona usafiri wa ndege zikiwa katika muonekeno wa juu angani lakini wanatamani hata siku moja washuhudie zikiwa chini ardhini muonekano wake uko vipi, yes.. kazi yangu ni kuhakikisha nazikata kiu za kila mmoja.
Sasa leo camera ya millardayo.com imetembelea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es salaam na kuzinasa picha 6 za ndege zikiwa ardhini kabla ya kupaa angani.
Post a Comment