Header Ads

Maendeleo na Mafanikio 2

Leo tunaendelea sehemu ya pili na ya mwisho ya somo letu hili la Maendeleo na Mafanikio

Mafanikio aliumbiwa mwanadamu ila Shetani kutokana na wivu wake amekua akizuia mafanikio hayo asiyapate mwanadamu, ndiomaana watu wanaishi maisha ya kimaskini pasipo kuelewa. Kama usipotambua nafasi yako Mungu aliyokuwekea hakika utaendelea kunyanyaswa na Shetani katika maisha yako. Ni vema ukabadilika na kukaa katika nafasi yako aliyokuwekea Mungu kwa maana utajili una yeye Mungu wetu.
Kusudi la Mungu siyo wewe uishi maisha ya kimaskini, watu wanaishi maisha magumu kwa kutotambua kusudi la Mungu katika maisha yao. Hata neno la Mungu linasema; Fedha na dhahabu zote ni mali ya Bwana. Fanya kazi kwa bidii pamoja na kumtumikia yeye hakika utaupata utajili.
Marafiki ni muhimu katika maisha ya mwanadamu kwa sababu wanaweza kutupa mawazo juu ya yale tunayowaza kuwa ni mazuri au la! Na kwamba yanaweza kutusaidia vipi katika maendeleo yetu. Japokuwa siyo  marafiki wote wanaweza kutupa mawazo ya maendeleo.
Remember:
  • The less you associate with people the more your life improve also it is better to be alone than having a bad company
  • You are responsible for your life
  •  The first witch of your success is you
  •  No one is coming to save you. This life of yours is 100% of your responsibility
Asanteni kwa kuwa pamoja nami katika hili somo, tukutane tena kipindi kingine kwa ajili ya kujifunza 

No comments

Contact us:Email:godfreymtega@gmail.com/WhatsApp-+255758297744/+255716824009 . Powered by Blogger.