Header Ads

WATANZANIA WA MASSACHUSETTS NA MIJI YA JIRANI WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MAZISHI YA MARAHEMU KHADIJA YALIYOFANYIKA BOSTON SIKU YA JUMAPILI.


Marehemu Khadija Juma wa kati wa uhai wake.
Inna Lilahi Wa Inna Ilayhi Rajiun
Allahuma ghfirlaha wa rahamha wa Maskana filjanna, Mungu awape familia yake subra na stahamala.
Watanzania wakishuudia kuifadhiwa mwili wa mpendwa wao Khadija kwenye nyumba ya milele kwenye makaburi ya Baker Street Roxbury. MA
Kwa picha zaidi nenda kwenye soma more


   
 Akina mama wakizindikiza mwili wa mpendwa wao.

Rais wa DMV bwana Iddi akipata ukodak na wa Tanzania wengine kutoka New York na  Massachusetts.


No comments

Contact us:Email:godfreymtega@gmail.com/WhatsApp-+255758297744/+255716824009 . Powered by Blogger.