Header Ads

U HEARD: Video ya Larua yamtibua mpenzi wa zamani wa Malaika

September 14 2016 kupitia U Heard ya Soudy Brown, nakukutanisha na hii ya msanii wa Bongo Flava anayefanya vizuri na wimbo wake “LaruaMalaika ambapo ameingia kwenye mzozo na aliyekua mpenzi wake anayejulikana kwa jina la Eddy, baada ya muongozaji wa Video Hanscana kuiachia Video ya Larua wakati makubaliano ilikua isitoke. kama hukupata nafasi ya kuisikiliza usijali, millardayo.com imekurekodia.

No comments

Contact us:Email:godfreymtega@gmail.com/WhatsApp-+255758297744/+255716824009 . Powered by Blogger.