Header Ads

AUDIO: Taarifa ya tetemeko la ardhi lililotokea Bukoba leo sept 10 2016

Taarifa nilizozipokea kutokea bukoba ni kwamba kuna tetemeko limetokea majira ya saa tisa alasiri, mmoja wa shuhuda wa tukio hilo ambaye ni mwandishi wa habari wa radio Kasibante ya Bukoba amethibisha kutokea kwa tukio hilo.
fb_img_1473515137335
Eneo la ardhi linalodaiwa kuathiriwa na tetemeko
>>>’maeneo ambayo yameathirika ni yale ambayo yako kwenye milima, hata watu ambao wamejenga nyumba ambazo siyo imara zipo ambazo zimebomoka na ambazo zimepata ufa‘:-Shuhuda
kusikiliza bonyeza play hapa chini
https://youtu.be/aou_rKjlK0M 

No comments

Contact us:Email:godfreymtega@gmail.com/WhatsApp-+255758297744/+255716824009 . Powered by Blogger.